Fahamu mambo yanayoweza sababisha upungufu wa mbegu za kiume (sperm count)

Ili kufanikisha kutunga mimba mwanaume anatakiwa azalishe mbegu kuanzia million 20 na zaidi katika kila millilita moja ya shahawa. kuna baadhi hutengeneza kiwango kidogo cha mbegu hizo na hii hutokana na sababu mbalimbali za kiafya,kimazingira na mfumo wa maisha ya kila siku.
Sababu Za Kiafya
1. Matumizi ya dawa kwa muda mrefu hususani dawa za kutibu fangasi, na kurekebisha homoni.
2. Mabadiliko ya mfumo na utengenezaji wa homoni mwilini.
3. Kinga za mwili kushambulia mbegu za kiume.
4. Ukosefu wa lishe bora hasa yenye zinc, folic acid, vitamini E, C, na B12.
5. Uzito uliopitiliza (obesity).
Leave a comment