Utafiti unaonyesha kwamba uvutaji wa pili wa sigara kitaalamu kama second hand au passive smoking huleta madhara ya kiafya kwani…
Magonjwa yasiyo kuambukiza

FAHAMU ATHARI ZA KUBEBA VYAKULA VYA MOTO KWENYE MIFUKO(RAMBO) AU VYOMBO VYA PLASTIKI
Maisha ya kila siku ya mwanadamu hususani katika nchi za kiafrika hutegemea kwa kiasi kikubwa matumizi ya vyombo vya plastiki…

MAZINGIRA YAKO YA KAZI YANAATHIRI VIPI AFYA YAKO?
Ajira zetu zina mchango mkubwa sana katika maisha yetu kwani asilimia kubwa ya muda hutumika tukiwa kazini ili kuzidi kujistawisha…

MTINDO WA MAISHA UNAVYOWEZA KUATHIRI NGUVU ZA KIUME KWA VIJANA
Uume dhaifu kwa kitaalamu inaitwa Erectile dysfunction E.D au Impotence.Endapo mwanaume anashindwa kusimamisha uume,umekosa nguvu ya kutosha kuingia ndani ya…

Wafahamu mambo muhimu kuhusu Selimundu(Sickle cell)?
Yapo magonjwa mengi ya kurithi katika jamii na moja wapo ya magonjwa hayo ni ugonjwa wa seli mundu unaosababishwa na…

FAHAMU KUHUSU UGONJWA SUGU WA FIGO (CHRONIC KIDNEY DISEASE)-SEHEMU YA KWANZA
UTANGULIZI. Ugonjwa sugu wa figo ni nini? Ugonjwa sugu wa figo ni hali ya figo kudhoofika kwa muda mrefu wa…

Fahamu kuhusu Kichaa cha Mbwa na Athari zake
Utangulizi Kichaa cha mbwa (Rabies), ni ugonjwa hatari wa kuambukiza unaosababishwa na virusi aina ya rabies na huweza kuwapata wanyama…

Ujue ugonjwa wa mshipa wa ngiri (hernia) na matibabu yake.
Ngiri ni uvimbe unaotokana na viungo vya ndani ya mwili kusukuma kuta za misuli inayozunguka au kushikilia viungo hivyo na…

Ujue ugonjwa hatari uitwao sumukuvu (Aflatoxicosis)
Sumukuvu ni nini? Huu ni ugonjwa ambao hutokana na kula chakula au kunywa kinywaji ambacho kina sumukuvu aina ya aflatoxin.…

Uliza swali la afya kirahisi na haraka zaidi
Au tuulize swali kwa Whatsapp

UMUHIMU WA WANAUME KUSHIRIKI KATIKA HUDUMA ZA AFYA YA UZAZI (Part 1)
Kuna jitihada nyingi za kumshirikisha mwanaume katika masuala ya afya ya uzazi zinzofanywa na serikali na mashirika binafsi ya kitaifa…

Huduma ya afya kupitia Whatsapp
Afya ya Mtoto Fahamu mbinu mbalimbali juu ya afya ya mtoto wako na njia za kuimarisha afya yake. Tutumie ujumbe…